Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Kundi la Mapacha kuja na kipindi cha Televisheni “50/50”
20 January 2016

Rappers wa kundi la Mapacha wanatarajia kuja na kipindi cha TV kiitwacho ‘50/50’ kitakachozungumzia maisha yao na marafiki zao.
Akizungumza na 255 ya XXL ya Clouds Fm Jumanne hii, mmoja kati ya Mapacha hao amesema kipindi hicho kitaanza kuonekana hivi karibuni.
“Ni kipindi cha ‘50/50 TV show’ kinakuja hivi karibuni kwahiyo nafikiri watu wakae tayari kukisubiria lakini pia ni kipindi ambacho kinahusu maisha yetu na marafiki zetu na watu wnaotuzunguka”, alisema.
Ameongeza kuwa umewachukua muda mrefu kukiweka sawa kutokana na mambo yote kuyafanya kwa fedha zao wenyewe.
“Tunashukuru Mungu tunazidia kuvuka vikwazo na vikwazo ni vingi kama unavyojua sisi hatujapata sponsor wa kusimamia kipindi hiki kwahiyo ni hela ambazo zinatoka mifukoni mwetu ndio maana kimechukua muda mrefu kukamilika”.
Lakini pia hawajaweka wazi ni Televisheni ipi kipindi chao kitakua kikionyeshwa.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- Grateful
25 May


Leave your comment