EXCLUSIVE (TANZANIA) – Shabiki kaa tayari kwa remix ya ‘Asanteni Kwa Kuja’ toka kwa FA

<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1453277631_0733_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;">&nbsp;</p>
<p style="text-align: justify;">Rapper Mwana FA asema baada ya kupata mapokezi makubwa ya wimbo wake mpya wa &lsquo;Asanteni Kwa Kuja&rsquo;, yamemfanya aandae remix ya wimbo huo.</p>
<p style="text-align: justify;">Ambapo FA amesema kuwa angepata nafasi ya kumuongeza Professor Jay kwenye remix yake angetisha sana.</p>
<p style="text-align: justify;">&ldquo;Ukiona wasanii wameikubali na kila mmoja anajaribu kuweka namna yeye angeifanya, Asanteni Kwa Kuja ni kitu kizuri sana&rdquo;, Mwana FA aliiambia 255 ya XXL ya Clouds FM Jumanne hii. &ldquo;So kweli nafikiria kufanya remix, ikiwezekana nifanye hata mbili tatu kama mtoni vile watu wanavyofanya&rdquo;.</p>
<p style="text-align: justify;">&ldquo;Nafikiri Fid Q alidondokea vizuri kwenye hii beat, Jay Mo aliua sana na Solo. Lakini ningekuwa na uwezo wa kumpata Mheshimiwa mbunge Professor ingekuwa vizuri sana lakini hao watatu ndio ninao mpaka sasa&rdquo;.</p>
<p style="text-align: justify;">FA pia amesema angependa katika remix hiyo kumuweka msanii wa kike.</p>
<p style="text-align: justify;">&ldquo;Mtu kama Maua Sama au Vanessa Mdee ingekuwa shoka zaidi&rdquo;.</p>

Leave your comment

Top stories