EXCLUSIVE (TANZANIA) – Unataka kujua kinachofuata baada ya Utanipenda ya Diamond!

<p style="text-align: justify;"><img src="/media/articles/1452155963_0847_b.jpg" alt="" /></p>
<p style="text-align: justify;">&nbsp;</p>
<p style="text-align: justify;">Baada ya kufunga mwaka na wimbo wa Utanipenda, sasa ni kitu baada ya kitu. Ambapo meneja wa msanii huyo Sallam amesema mwezi huu Diamond anatarajia kuachia kazi mpya.</p>
<p style="text-align: justify;">Akihojiwa na Bongo 5 alisema &ldquo;Nadhani mwezi huu (Januari) tuna collaboration na AKA ambayo video yake ipo tayari&rdquo;.</p>
<p style="text-align: justify;">Pia katika mahojiano hayo aliongeza kuwa kwakuwa wimbo wa &lsquo;Utanipenda&rsquo; ni wimbo wa huzuni na wa kusikiliza zaidi, wameona ni vyema kuachia pia wimbo wa kuparty.</p>
<p style="text-align: justify;">&ldquo;Tuna stock nyingi na hii ni collaboration, yaani AKA na Diamond kwahiyo tunapotoa nyimbo ya collabo mara nyingi huwa tunasupport kuhakikisha huwa inapita, sio unafanya halafu unaiacha tu&rdquo;</p>
<p style="text-align: justify;">Mbali na kazi hiyo ya Diamond na AKA, pia hivi karibuni Diamond alishoot video ya collabo yao na Mafikizolo.</p>

Leave your comment