Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Tekno wa Nigeria afanya kolabo na wasanii hawa kutoka TZ!
31 December 2015

Msanii toka Nigeria anayetamba na kibao cha ‘Duro’, ametaja wasanii wa bongo ambao tayari ameshafanya nao kolabo.
Msanii huyo licha ya kuthibitisha kufanyika kwa kolabo hizo lakini hajui ni lini rasmi zitatolewa.
Akijibu swali aliloulizwa jana katika kipindi cha XXL ya Clouds FM Tekno alisema mpaka sasa amefanya kolabo na Vanessa Mdee, Diamond Platnumz na Rummy.

Vanessa Mdee

Diamond Platnumz

Rummy
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Redice1 story
04 May
- Parsonal background
04 May




Leave your comment