Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Tekno wa Nigeria afanya kolabo na wasanii hawa kutoka TZ!
31 December 2015

Msanii toka Nigeria anayetamba na kibao cha ‘Duro’, ametaja wasanii wa bongo ambao tayari ameshafanya nao kolabo.
Msanii huyo licha ya kuthibitisha kufanyika kwa kolabo hizo lakini hajui ni lini rasmi zitatolewa.
Akijibu swali aliloulizwa jana katika kipindi cha XXL ya Clouds FM Tekno alisema mpaka sasa amefanya kolabo na Vanessa Mdee, Diamond Platnumz na Rummy.

Vanessa Mdee

Diamond Platnumz

Rummy
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- Grateful
25 May


Leave your comment