Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Kayumba wa BSS kuja na mambo bab’kubwa!
31 December 2015

Jaji mkuu wa Bongo Star Search, Madam Ritha amesema mshindi wa BSS 2015 anakuja na mambo makubwa.
Madam Ritha amesema mapaka sasa wapo kwenye maandalizi ya mwisho ya ujio wake.
“Kayumba anakuja na mambo makubwa”, amesema. “Watu wenyewe wataona na kuthibitisha hili ninalolisema. Nataka watu wawe na subira na kila kitu kitakuwa wazi soon Mungu akipenda”
Mshindi huyo wa BSS, Kayumba na Madam Ritha walisafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwaajili ya kushoot video ya wimbo wa kwanza wa msanii huyo.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Redice1 story
04 May
- Parsonal background
04 May




Leave your comment