Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Bila Fella kimuziki mimi si kitu –Chege
28 December 2015

Rapper Chege amesema anaamimi yeye pamoja na Mheshimiwa Temba bila boss wao hawawezi kufanya kazi ya muziki bila kumtegemea, Saidi Fella.
Msanii Chege ambaye ameachia wimbo mpya wa ‘Sweety Sweety’ hivi karibuni aliowashirikisha Runtown, na Uhuru, amekiambia kipindi cha FNL cha EATV kuwa boss wao huyo amekuwa akisimamia kila kitu kwenye muziki wao.
“Sisi bado tupo chini ya mkubwa Fella na kufanya kazi bila yeye tunaona tutayumba na kupotea” alisema Chege.
“Mimi mpaka leo sijui gharama ya video yangu mpya, kazi yote kafanya Mkubwa, mimi natumwa tu nenda kule. Kwahiyo Fella kwenye muziki wetu ndiyo kila kitu”, aliongeza Chege.
Waakati katika hatua nyingine, Fella amewshukuru mashabiki wake kwa kuufanya wimbo huo kuwa mkubwa
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- Grateful
25 May


Leave your comment