EXCLUSIVE – Inawezekana hii ikawa sababu ya Diamond kumuona Zari kama mwanamke wa kuoa ama!! (Picha)

 

Mwanamke wa Kiganda na mjasiriamali Zari Hassan amekuwa akiongelewa na kupendwa na wengi. Kwa sasa amekuwa akiongelewa sana kwenye mitandao ya kijamii na kupata support kubwa Afrika Mashariki. Na hii inajithibitisha pale ambapo mashabiki wanaendesha account za Instagram kwa ajili yake #TeamZari.

Mwanamke huyo ambaye ni mama wa watoto 4, Zari siyo tu  mfanyabiashara mzuri bali pia amethibitisha kuwa ni mwanamke wa kuoa (Wife material).

Zari alishare picha katika ukurasa wake wa Instagram ikimuonesha akiwa jikoni na kuacha wengi wakitamani na kudondosha mate wa picha hiyo.

Ikiwa Zari ni mwanamke anayejitambua na anayeweza kufanya chochote anachotaka ili kupata akitakacho.

Mwanamke huyo mrembo wamejaaliwa kupata mtoto mmoja na msanii pendwa Afrika Mashariki na nje ya Afrika kwa ujumla, Diamond Platnumz aitwaye Latifah aka Tiffah Dangote.

Source: Mpasho.com 

Leave your comment

Top stories