Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Berry Black aeleza sababu ya kuvunjuka kwa kundi lao!
17 December 2015

Msanii Berry Black aliyekuwa anaunda kundi la Berry Black & Berry huko nyuma, na inawezekana umekuwa ukitamani kujua sababu ya kuvunjika kwa kundi hilo.
Pia msanii huyo amehamisha makazi yake kutoka Zanzibar na kuhamia jijini Dar es salaam huku kazi zake zikiwa zinasimamiwa na Mkurugenzi wa TMK Wanaume Family, Said Fella.
Msanii huyo ametoa sababu ya kundi lao kutengana kupitia MillardAyo.com na kusema “Chanzo cha kuvunjika kundi letu ni kutokana na kutoelewana ndipo nikaamua niwe natoanyimbo zangu peke zangu siunajua ustaa ukishakua staa tena kwahiyo 2006 likavunjika, mwisho wake tabia zikabadilika kati yangu na Berry White” alisema Berry Black.
Pia aliongeza kuwa “ Sisi tulikuwa hatuna kiongozi tofauti na makundi mengine tulikuwa tupo tu na ndio chanzo cha kuvunjika kwa kundi.. kwa sasa makazi yangu nimeyahamishia Dar es salaam na kazi zangu zinasimamiwa na Mkubwa Fella”.
Source: MillarAyo.com
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- Grateful
25 May


Leave your comment