Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
NEW SONG(TANZANIA) – Raisi Magufuli Kutungiwa wimbo na Kalapina "Magufuli Balaa"
10 December 2015

Aliyekua mgombea Ubunge jimbo la Kinondoni kupitia Chama cha Act Wazalendo na Mwanamuziki wa Hip Hop Kalapina ameamua kuandika wimbo na kuingia studio unaomhusu Raisi Magufuli. Wimbo huo unaitwa ‘Magufuli Balaa’ , umetengenezwa na Dunga kwenye studio za 41 Records.
Hii imetokana na baada ya Raisi Magufuli tangu apate wadhifa huo ameendelea kukonga nyoyo za watu na mataifa mbalimbali kutokana na ufanyaji wake kazi. Pia katika kuadhimisha siku ya Uhuru jana 9 Disemba, alitoa ari na nguvu kubwa ambayo imehamasisha Watanzania wengi kufanya usafi katika mazingira mbalimbali kama alivyoamuru.
Sikiliza hapa;
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- Grateful
25 May


Leave your comment