Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Huwa sisikilizi nyimbo zangu – Ben Pol
4 December 2015

Mkali wa R&B Bongo Ben Pol amesema huwa hasikilizi nyimbo zake licha ya kuandika nyimbo nzuri na kuwapa mashabiki burudani.
Ben Pol ameyasema hayo alipohojiwa katika kipindi cha XXL cha Cloud Fm, amesema huwa hasikilizi kabisa nyimbo zake anazokuwa ameachia tayari.
“ Nahisi nikisikiliza nyimbo zangu ambazo zimeshaenda redioni kuna uwezekano wa kurudia kuandika kitu ambacho nimeshakitoa ndiyo sababu kuu huwa sipendi kusikiliza nyimbo nilizoachia radio” alisema Ben Pol.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Uganda yanni
28 June
- @GAN theking#
28 June
- NEW COLLABORATION UNLOCKED
01 July




Leave your comment