Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Tuzo za HiPipo za Uganda kuwataja AliKiba, Diamond na Vanessa Mdee kuwania tuzo hizo
3 December 2015

Tuzo za HiPipo za Uganda zawataja AliKiba, Vanessa Mdee na Diamond kuwania tuzo hizo kwa mwaka 2016.
Ambapo wasanii hao wametajwa kwenye vipengele vya Afrika Mashariki.
Kipengele cha kwanza ni East Africa Super Hit ambacho kinawaniwa na wasanii wa Kenya na Tanzania. Nana ya Diamond, Nobody But Me ya Vanessa Mdee ft K.O na Mwana ya AliKiba zimetajwa.
Pia kipengele cha East Africa Best Video ambapo Nana ya Diamond na Nobody But Me ya Vanessa zimetajwa.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- Grateful
25 May


Leave your comment