Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) – Vaileth iliingiza shilingi milioni 150- Matonya
27 November 2015

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva Seif Shaaban maarufu kama 'Matonya', ameuelezea wimbo wake wa kitambo wa ‘Vaileth’ kuwa ndio wimbo uliompatia pesa nyingi na kwa haraka.
Akizungumza katika kipindi cha The Jump Off cha Times FM, Matonya alisema wiki kadhaa baada ya kuachia ngoma hiyo, alijikuta akiwa na pesa nyingi kwenye account yake.
“Vaileth was a crazy song kwakweli”, alisema Matonya, “Ulikuwa wimbo mkubwa sana, nlipokea simu nyingi kutoka Marekani na kwingineko, yaan ulipagawisha watu kiukweli. Sasa sikuwahi kushika hela nyingi kweli yaani, pesa zangu nyingi zinaingia benk tu, sasa ile siku natazama akaunti naona kama milioni 150 afu haraka tu” alisema Matonya.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00
Top stories
- Excellent Jesus
26 May
- Angel Prince Biography
27 May
- Grateful
25 May


Leave your comment