Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA)- Amini azungumzia suala la ukimya wake kwenye muziki
9 November 2015

Msanii Amini amevunja ukimya kwa kuwaondoa wasiwasi mashabiki zake, na kusema kuwa hadi sasa ana nyimbo tano kwa ajili ya mashabiki zake.
Mwanzamuziki huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa alikuwa kimya ili ahakikishe ana nyimbo zake tano mkononi.
“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia nyimbo”, alisema. “Kwasababu nataka niandae vitu vizuri ambavyo vikitoka kwasababu naweza kuchelewa na nikatoa nyimbo na ikafanya vizuri tu. Sina haraka kwasababu ninachokifanya mimi nakiamini kwasababu nimewaandikia wasanii wengi nyimbo na zikafanya vizuri” aliongeza Amini.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
CHAMPION GAL3:00
BIkola2:58
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
In My Bed2:50
Worship My King5:00
The Prelude of Grace1:31
Awake, My Soul2:56
Joy Is Coming3:08


Leave your comment