Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA)- Amini azungumzia suala la ukimya wake kwenye muziki
9 November 2015

Msanii Amini amevunja ukimya kwa kuwaondoa wasiwasi mashabiki zake, na kusema kuwa hadi sasa ana nyimbo tano kwa ajili ya mashabiki zake.
Mwanzamuziki huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa alikuwa kimya ili ahakikishe ana nyimbo zake tano mkononi.
“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia nyimbo”, alisema. “Kwasababu nataka niandae vitu vizuri ambavyo vikitoka kwasababu naweza kuchelewa na nikatoa nyimbo na ikafanya vizuri tu. Sina haraka kwasababu ninachokifanya mimi nakiamini kwasababu nimewaandikia wasanii wengi nyimbo na zikafanya vizuri” aliongeza Amini.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Redice1 story
04 May
- Parsonal background
04 May




Leave your comment