Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA) - Kolabo kati ya Alikiba na Sauti Sol ipo njiani kuachiwa
28 October 2015

Ali Kiba na Sauti Sol wamewatamanisha mashabiki kuhusu kolabo yao inayokuja hivi karibuni. Wasanii hao wamewatease mashabiki wao kwa kupitia kurasa zao za Instagram iliyofanyika jijini Nairobi Kenya hivi karibuni.
Sauti Sol walipost picha na kuandika :Kazi ipo King Kiba na Sauti Sol Muziki wa kiafrika #LiveandDieinAfrika #Kenya #Tanzania
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Redice1 story
04 May
- Parsonal background
04 May




Leave your comment