EXCLUSIVE(NIGERIA): Seyi Shayi Agundua Tanzania Kuna Wasanii Bora Kwa Afrika

Msanii Seyi Shayi amesema amefanya utafiti na amegundua Tanzania ina wasanii bora kwa Afrika. Mwanadada huyo anayetamba na kibao chake cha “Right Now” ameyasema hayo wakati akiongea na Diva kwenye kipindi cha Ala za Roho cha CloudsFM wiki iliyopita.

EXCLUSIVE (TANZANIA) – Mabeste na mpenzi wake kuchora tattoo za majina yao

Alisema “Nimekuwa nikifanya utafiti wangu nyie, (Tanzania) mna wasanii bora Afrika, sidanganyi kabisa” akaongeza kuwa “Nasubiri sana siku moja tuweze kukutana na kufanya wimbo mmoja mkubwa na wasanii wa Afrika”

TAZAMA

https://www.youtube.com/watch?v=yG-UEOGUXx0

RELATED 

 EXCLUSIVE (TANZANIA) - Single ya Belle 9 “Shauri zao” yatambulishwa kwa mara ya kwanza Trace Urban

Leave your comment