Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA): 'Never Ever' Yagharimu Zaidi Ya Dolla 20,000!
19 October 2015

Msanii Vanessa aliyetoa video hivi karibuni ya wimbo unaoenda kwa jina la Never ever, amesema video imemgharimu zaidi ya dola 20,000 ambayo ni sawa na Millioni 40 za kitanzania.
Video ilifanyika nchini Afrika Kusini chini ya Director Justin Compos. Kwa mujibu wa mtandao wa Clouds FM Vanessa alisema “Video ya wimbo wangu wa Never Ever imenigharimu dolla elfu 20 sawa na millioni 40 za Kitanzania nimefanya kwa producer Justin Compos, na malengo yangu bado sana hata sijafika ukurasa wa pili wa kitabu ninachoandika na matumaini ya kuvuka mipaka mingi Zaidi”
Mwanadada huyo anayefanya vizuri katika game la muziki Tanzania na Afrika kwa ujumla, anatamba na vibao vingine kama Game, Hawajui na Come over.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Parsonal background
04 May
- Redice1 story
04 May




Leave your comment