Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TUZO ZA AFRIMMA: Baada Ya Tuzo Haya Ndio Waliyoyasema Washindi
13 October 2015

Wasanii waliojinyakulia tuzo ya kimataifa ya AFRIMA 10/10/2015 huko Marekani, ambao ni Diamond, Vanessa na Ommy Dimpoz na kuipeperusha vema bendera Tanzania. Diamond amesema kuwa amefurahi sana kwa ushindi huo na ameidedicate tuzo hiyo kwa binti yake Tiffah.
TUZO ZA AFRIMMA- Baada ya tuzo haya ndio waliyoyasema baada ya tuzo h
Pia Vanessa ameshukuru watu wote waliompigia kura na kumpa support na kuwaambia wasichana wengine pia kuwekeza katika muziki kama ambavyo yeye amefanya.
RELATED
COLLABO OF THE DAY (TZ/NIGERIA): Absolute Music Bliss From Vanessa And 2 Face Idibia!
Weekly Top 10 songs
Top stories
- NEW COLLABORATION UNLOCKED
01 July
- WASH AWAY ALL MY SIN
30 June
- 10000
30 June




Leave your comment