Kutoka Kuitwa Sayuni Choir Getak Kisha Sayuni Singers Tz hadi "Sayuni Choir Tz"

Moja kati ya kwaya inayovuma sana Kupitia wimbo "Bwana Yesu awaita" ilifanya mabadiliko ya jina lake katika baadhi ya akaunti zake za mitandao ya kijamii. Mwanzo ilijulikana kama "sayuni choir getak" ikaamua kubadili jina na kuitwa "sayuni singers tz" mnamo tarehe 24 mwezi huu na tarehe 25 ilibadilisha jina lake kwenye account ya mdundo, youtube na instagram huku tiktok ikitumia "Sayuni singers tz" na facebook ikitumia "sayuni dnpc getak" lakini username/handle name ikiwa ni "sayunichoirtz" kwa facebook na youtube, kwa instagram ni "sayunichoir.tz" na tiktok ni "sayunidnpcgetak"
Kwa mujibu wa manager anayesimamia akaunti zake anasema kuanzia sasa watatumia jina la "Sayuni Choir TZ" na wataziandika akaunti zao zote(ikiwemo facebook na tiktok) kwa kutumia jina hilo. Wote wanaotufuatilia watatupata kupitia jina hilo. "kwa sasa tumeanza na youtube na instagram lakini baadaye tutamalizia na facebook na tiktok" alisema.

Leave your comment