Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Ngoma Mpya Tanzania: Jux Afichua DJ Ally B Kushiriki Kwenye Ngoma Yake
17 May 2023

[Picha: Instagram]
Mwandishi-Charles Maganga
DOWNLOAD LATEST BONGO MUSIC MP3
Kama kuna ngoma ambayo kwa sasa inasumbua kwenye klabu na mitandao ya kijamii basi bila shaka ni ngoma ya kwake Jux ya kuitwa “Shuga Daddy” ambayo amefanya na DJ Tarico pamoja G Nako.
Sasa hivi karibuni Juma Jux amefichua kuwa DJ maarufu kwa sasa nchini Tanzania, DJ Ally B pia amehusika katika kuandaa ngoma hiyo yenye miondoko ya Amapiano.
DJ Ally B ni moja kati ya Ma-DJ bora na maarufu kutoka Tanzania kwa sasa ambapo hivi karibuni alishinda tuzo ya DJ Bora Wa Kiume Wa Mwaka kwenye Tuzo Za Tanzania Music Awards 2023.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Jux aliweka video inayomuonesha DJ Ally B akiwa anaweka anarekodi studio ambapo DJ huyo anayetokea mkoani Moshi alionekana akiwa anapuga miluzi na kuweka vionjo vyake kwenye wimbo huo.
“Thank you so much my brother DJ Ally B Kama ulikuwa haujui kwenye Shuga Daddy nakujuza. MIRUZII imepigwa na BINGWA wa miruzi Nchini Dokta DJ Ally B” aliandika msanii huyo.
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April


Leave your comment