Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Hatimaye Rayvanny Aachia FLOWERS III Tanzania
15 May 2023

[Picha: Instagram]
Mwandishi-Charles Maganga
DOWNLOAD LATEST BONGO MUSIC MP3
Mwanamuziki kutoka Tanzania, Rayvanny hatimaye ameachia EP yake iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu sana na mashabiki ya kuitwa Flowers III
Flowers III ni EP ya tatu katika mtiririko wa Flowers EP kutoka kwa mshindi huyo wa tuzo za BET. Flowers ya kwanza ilitoka mwaka 2020 huku Flowers II ikiwa imeachiwa mwaka 2022 ambapo Rayvanny aliwashirikisha wasanii kama Zuchu, Ray C na Marioo.
Kwenye Flowers III Rayvanny ametengeneza ngoma 9 ambapo 3 kati ya hizo ambazo ni “Forever” “One Day Yes” na “Mwambieni” tayari zimeshatoka. Aidha kwenye EP hii Rayvanny ameshirikisha wasanii tofauti tofauti tofauti ikiwemo Phina, Jay Melody, Mac Voice na Bahati kutoka Kenya.
Ikumbukwe kuwa kufikia sasa Rayvanny ana jumla ya EP 5 pamoja na albamu moja ambayo ni Sounds From Africa ya mwaka 2021.
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April


Leave your comment