Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
Mdundo.com DJ Battle: Jinsi MaDJ wa Tanzania Wanavyoweza Kushinda Shilingi Milioni 7 za Tz
22 November 2021

Je? Umebarikiwa na talanta ya KuDJ? Je, unatamani kupata shilingi milioni saba za Tanzania? Basi jaribu bahati yako kwenye shindano ya Mdundo.com DJ Battle.
Mdundo.com DJ Battle ni Nini?
2021 Mdundo.com DJ Battle ni shindano la maDJ. Shindano hili lilianza nchini Tanzania siku ya Ijumaa, tarehe 19 Novemba, 2021. Shindano hilo litakalodumu kwa wiki 4, litamshuhudia DJ mmoja akitawazwa ‘King of The Turntable.’
Mshindi atakabidhiwa mkataba wa udhamini wenye thamani ya Tsh 7,000,000. Mixtape ya atakeyeshinda itapata kuchezwa kwenye redio na pia kwenye hafla kubwa ya muziki.
Ni Nani Anayestahiki?
Shindano liko wazi kwa DJs wote. Aina yoyote ya muziki inaweza kuingia kwenye shindano, iwe ni Afropop, Bongo flava,Singeli, Amapiano, Hiphop, Gospel...na kadhalika
Jinsi ya kujisajili?
Tembelea mdundodjbattle.com ili kujiandikisha na kuanza kupakia mchanganyiko.
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
Tudo Trocado3:17
Nasema3:02
ONLY YOU JESUS5:44
I AM3:12
CHAMPION GAL3:00
Ekinuma4:59
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
Mariana3:19
Top stories
- Mungu mkuu
16 July
- apology to all our fan's
18 July
- Stainer...music
18 July


Leave your comment