TUNAPOTEZA UTAMBULISHO WA MZIKI WA KIAFRIKA
27 June 2021
Kadri siku zinavyokwenda soko la mziki wa Africa linakuwa kwa kasi sana, Tunawasanii wanaotuwakilisha vizuri huko nje wanaotoka ukanda huu wa Afrika mashariki lakini maadili ya tungo zetu ni jambo ambalo limepuuziwa sana wasanii wanaimba sana matusi. Tunapoteza ualisia na ladha ya mziki wa kiafrika. Tunapaswa kuangalia tuliangukia wapi
Leave your comment