Nyimbo Mpya: Video Tano Mpya Zilizovuma Bongo Mwezi Aprili 2021

[Picha: Harmonize Instagram]

Mwandishi: Branice Nafula

Pata Habari za Muziki na Mixtapes Bure Kwenye Telegram

Wiki hii wanamziki hawakusazwa katika kuachia kazi mpya hivyo tunaangazia nyimbo tano zinazovuma bongo kwenye mtandao wa YouTube:

Pata Ubashiri wa Mechi Katika ya Real Madrid na Chelsea 

Harmonize ft Awilo Longomba na H baba

Hii ni kazi mpya sana ya Harmonize aliomshirikisha nguli wa mziki barani Afrika Awilo Longomba na mwenzake wa Tanzania Hbaba. Ni wimbo wa starehe na burudanai na ulikpokelewa kwa ukubwa kwa sasa video hii ina watazamaji zaidi ya milioni tano.

https://www.youtube.com/watch?v=bElhxzQweYQ

Fungu la Leo Zaburi 118:14

Baikoko - Mbosso

Huu ni wimbo wa Mbosso ambao umetamba kwa muda wa wiki tatu sana. Kwenye wimb huu, Diamond amemshirikisha Diamond Platnumz. Kufikia sasa ni wimbo ulio na watazamaji zaidi ya Milioni sita.

https://www.youtube.com/watch?v=hGqzvvbZnyQ

Hayakuhusu - Ibraah

Katika wimbo huu Ibraah alionea kumchamba Rayvanny kuhusu ugomvi dhidi yake na Harmonize. Wawili hao walikuwa na mazozano kuhusu aliyekua mpenzi wa Harmonize Bi. Fridah Kajala na mwanawe Paula.

https://www.youtube.com/watch?v=mzaaqiUXr8A

Soma Pia: Nyimbo Mpya: Ngoma Tano Kali Kutoka Konde Music Worldwide Mwaka 2021

Vibaya - Harmonize

Katika kujaribu kuomba radhi na kuwaheshimisha akina dada ambao amaekua na uhusiano nao, Harmonize alichia wimbo huu ‘Vibaya. Kufikia sasa ni wimbo uliokubaliwa sana na mashabiki na watazamaji zaidi ya milioni moja huku kanda yake ikitarajiwa hivi karibuni.

https://www.youtube.com/watch?v=zEtsp8BlyM4

Sere - Olakira ft Zuchu

Msanii Olakira kutoka Nigeria alimshirikisha Zuchu katika wimbo huu wa mapenzi. Olakira alifanya busara katika kumchagua Zuchu kwa wimbo huu. Kufikia sasa ni wimbo ulio na watazamaji zaidi ya laki nane kwenye mtandao wa YouTube.

https://www.youtube.com/watch?v=wht8D5mekJ8

Leave your comment