Mdundo Mixes: Mixtape Tano Zinazovuma Nchini Tanzania (Pakua bila Malipo)

 Pata Habari za Muziki na Mixtapes Bure Kwenye Telegram

Imedhaminiwa na Guinness Smooth

Mix ya DJ Lyta 2021 Mix inaangazia ushirikiano mzuri ulioko bongo na nje ya Afrika. Huu ni mchanganyiko maalum uliochanganywa katika mitindo tofauti kama vile dancehall, bachata hadi afrobeat. Mixtape hii  inaleta pamoja wanamziki wakubwa barani kama vile Diamond Platnumz, Harmonize, Tanasha Donnah, Lady Jaydee miongoni mwa wengine.

Bongo Mix 2021 #3 

Katika mixtape hii DJ Bee  ameweka pamoja wasanii bora wa kike kutoka Tanzania na wengine kutoka nchini Kenya na Nigeria. Aki dada hawa ni kama vile.Number One - Nandy Ft. Joeboy, PAH - Nameless Ft. Darassa, Unanikoleza - Wini Ft. Aslay, Sugua - Jux na nyinginezo.

 Bongo Love Songs 2021

DJ Bee anaturudisha nyuma na kutuchezea mfano bora wa nyimbo za mapenzi za bongo kutoka zamani kuanzia mwaka wa  2014. Kupitia mixtape hii  paakua mziki wa wasanii tajika wa Bongo kama Diamond, Rich mavoko, Vanessa Mdee, Jux  na wengineo.

Flavour Ya Bongo 

Furahia Bongo asili kutoka kwa wasanii wa ngazi ya juu wa bara la  Afrika Mashariki na ushirikiano ndani ya eneo hili.  Khaligraph Jones, Otile Brown, Masauti, Diamond, Harmonize ni baadhi ya wasanii waliohusishwa kwenye mchanganyiko huu.

Bongo Mdundo Bomba #1

Huu ni Mziki bora wa kuburudika kutoka Bongo. Mchanganyiko huu wa mziki unahusisha sana na starehe au tamasha za usiku. Wasanii husika katika mixtape hii ni kama vile Darassa, Ben Pol, AY, Diamond miongoni mwa wengine wengi.

 

Leave your comment