Harmonize Signs First Artist under Konde Worldwide Label
13 April 2020

By Paul A.
Tanzanian artist and Konde Worldwide founder Harmonize has signed his first artist under the music label.
Harmonize through his Instagram page revealed that an artist identified as Ibraah was the first member to join the Konde Gang.
Download Harmonize Music For Free on Mdundo
The announcement came just days after the former Wasafi member showed a mansion that will host the Konde Worldwide offices.
Jioni Ya Leo ...!!! Nafsi Inaniambia Mungu Anaetoa Na Kubariki Vipaji Ndie Mungu Anaegawa Upendo Katika Nyoyo Za Waja Wake Safii Na Nyeupe....!!! Binafsi Natambua Uchanga Wa Kampuni Inayonisimamia Pia Natambua Changamoto Tulizotoka Kupitia Punde..!!! Kifedha Naamini Kinachotufanya Mpaka Tuwe Hapa Leo Ni Dua Zenu Pamoja Na Upendo Ambao Nibaraka Toka Kwa Mungu Kama Unavyotambua Mambo Haya Ya Kusimamia Msanii Ama Wasanii Yanahitaji Uwekezaji Mkubwa Sana...!!! Richa Ya Kujinyima Kujichanga Changa Tunako Endelea Nako Lakini Haijawa Sababu Ya Kuruhusu Vipaji Ama Ndoto Za Kijana Yeyote Mwenye Kipaji Zipote…,” he posted on his Instagram account.

“Asanteni Sanaa Kwa nia Ya Dhati Kwa Msanii Mwenzangu Ambae Naamini Katika Kipaji Chake Ama Tunu Aliyopewa Na Mungu ...!!! Naweza Sema Bila Shaka Hata Ikitokea Siku Siimbi Muziki Teena..!!! Naamini @Ibraah_tz Nimtu Ambae Anaweza Fanya Kila Ninacho Fanya ..!! 100% Kwaheshima Kubwa Sina Budi Kuku karibisha Rasmi @Kondegang Brother .!!!@ibraah_tz Naamini Kwapamoja Tunaweza Kuwa Njia Ya Kuupeleka Muziki Wetu Another Level....!!!! Na Kesho Kuwafungulia Vijana Wenzetu Njia Waliopo Mtaani Watoto Wa Kimaskini Kama Sisi ...!!! Nikuombe tu Uamini Katika Wananchi Watakao kupokea Na Kukusikiliza Ndio Wanaweza Kubadirisha Maisha Yako Nakusisitiza Kuwapenda Na Kuwaheshimu ....!!” he added
Harmonize has been working on his label after officially exiting Wasafi that natured his career.
Under the Konde Worldwide label, the ‘Matatizo’ hit maker released the ‘Afro East’ album.
The album has been a success across Africa by topping charts on various digital platforms.
He is seeking to build a new label to rival Wasafi in the Tanzanian music industry.




Leave your comment