Sitakusumbua

Huu ni wimbo unaowahusu wote walio katika safari ya mapenzi,kuachwa na kuachika katika mapenzi na jinsi nilivofanyiwa na msichana Fulani miaka ya nyuma.Na sasa kauli namwomba tusahau ya zamani asinisumbue.
@eloveclassik,
#Elphado

Leave your comment