Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Vanessa Mdee Baada Ya Money Mondays, ‘Ningependa Usikiliza Albamu Ya Grace Matata’
8 May 2018

Msanii Vanessa Mdee baada ya kuachia albamu yake ya kwanza Money Mondays amesema angependa kusikiliza albamu mpya kutoka kwa Grace Matata kwa sasa.
Muimbaji huyo wa ngoma ‘Wet’ amesema kuwa amekuwa akifuatilia muziki wa Grace Matata na umekuwa wenye kumvutia hivyo angependa kuupata ukiwa katika albamu (package).
“Nilikuwa nasikiliza kazi za Grace Matata juzi kati, ladha zake ni tofauti sana, ningependa kusikiliza albamu nzima kutoka kwake ana kitu fula hivi akikuimbia na gitaa unatulia,” Vanessa ameiambia Clouds TV.
Utakumbuka kuwa Grace Matata alishatoa albamu yake ya kwanza iliyokuwa inakwenda kwa jina la Nyakati.
Muimbaji huyo amemtaja Maua Sama kama msanii mwingine ambaye angependa kusikiliza albamu kutoka kwake. Pia Vanessa Mdee ameeleza kuwa EP ya Mimi Mars itatoka mwisho mwa mwaka huu ikiwa na nyimbo sita.
Courtesy: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Trust No One3:13
chile-one-so-lucky4:02
Kamwambie3:47
Joy Is Coming3:08
Buwooma2:44
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Leo3:39
Maringo4:00
NANI ft. Kamanda Pedeshee3:56
Top stories
- The Marathon
25 April
- Who Is Bad Beric
24 April
- Cashout by monyzoh boy
24 April
- MOSS Kay
24 April


Leave your comment