Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond Asogeza Mbele Tarehe ya Kuachia Album Yake ‘A Boy From Tandale’
1 February 2018

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amesogeza mbele tarehe ya kuachia album yake ya kwanza ya ‘A Boy From Tandale’.
Album hiyo ambayo awali ilitangazwa kuachiwa tarehe 23 Februari mwaka huu imesogezwa mbele hadi tarehe 7 Machi 2018.
Uongozi umeeleza kuwa sababu kubwa ya kusogeza tarehe mbele ni kupisha zoezi la utambulisho na kusimamia kazi za msanii mpya wa WCB, Mbosso ambaye ametambulishwa wikiendi iliyopita.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

Tudo Trocado3:17
omelette4:28
ONLY YOU JESUS5:44
Nasema3:02
CHAMPION GAL3:00
Ekinuma4:59
I AM3:12
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
BESTIE2:26


Leave your comment