Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond Asogeza Mbele Tarehe ya Kuachia Album Yake ‘A Boy From Tandale’
1 February 2018

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amesogeza mbele tarehe ya kuachia album yake ya kwanza ya ‘A Boy From Tandale’.
Album hiyo ambayo awali ilitangazwa kuachiwa tarehe 23 Februari mwaka huu imesogezwa mbele hadi tarehe 7 Machi 2018.
Uongozi umeeleza kuwa sababu kubwa ya kusogeza tarehe mbele ni kupisha zoezi la utambulisho na kusimamia kazi za msanii mpya wa WCB, Mbosso ambaye ametambulishwa wikiendi iliyopita.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs
Top stories
- The Marathon
25 April
- TRUE LOVE
26 April
- O Daynor pisom 03 casou
24 April
- HOWE WOU KUMA
25 April




Leave your comment