Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Sipo Tayari Kumtangaza Mpenzi Wangu – Barnaba
20 September 2017

Msanii wa Bongo Flava, Barnaba amesema kwa sasa hayupo tayari kumtangaza mpenzi wake.
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Mapenzi Jeneza’ amesema hayo katika mahojiano na Dj Show ya Radio One na kusisistiza kuwa hata hivyo kwa sasa yupo single.
Barnaba amelazimika kusema hayo baada ya kufululiza kuposti picha za mrembo fulani katika mtandao wa Instagram bila kutolea maelezo yoyote.
“Siwezi kuzungumzia hayo acha tuone ni kitu gani kinajiri, ni kweli mimi siyo mtu wa skendo na niwaambie mashabiki sipendi stori mbaya wala sitaki kutafsirika vibaya, the good news is hakuna kibaya katika zile post zangu na sijatangaza kama ni mpenzi au la,” amesema Barnaba.
“Sipo tayari kumtangaza mpenzi wangu na sipo tayari kumsema mwanamke wangu na nipo single narudia kusem tena,” amesisitiza.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs

KAPEKE LONDON2:23
BIkola2:58
In My Bed2:50
Buwooma2:44
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
Baddie remix feat Shannnon, aaronix, Tojo3:14
CHAMPION GAL3:00
Paver2:55
Nitampeleka kwa Mama (ft. Xouh)3:44
Joy Is Coming3:08
Top stories
- NEW SONG ALERT
16 May
- Generation
16 May
- Boom Shakatah means
17 May
- Date of birth
15 May


Leave your comment