Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Msanii Ambaye Mstaafu Jakaya Kikwete Anapenda Kusikiliza Nyimbo Zake
25 August 2017

AyoTV ilimtembelea Rais mstaafu Dr Kikwete nyumbani kwake na kuzungumza nae vitu mbalimbali ikiwemo kutembelea shambani kwake, anakolima mahindi na kufuga ng’ombe, tukamuuliza akiwa amepumzika au baada ya kazi za kilimo ni nyimbo gani anapenda kuzisikiliza?
“Mimi nasikiliza vipindi vya radio tu Clouds vipindi vya radio tu nasikiliza mambo safi tu, nyimbo ninazozipenda zipo nyingi tu kwenye gari nasikiliza nyimbo za zamani tu za Nyboma sasa hizo nyinyi zitachosha tu kwanza Nyboma hamumfahamu”>>> Dr Kikwete
Kama hufahamu msanii Nyboma ambaye mstaafu Kikwete anasikiliza sana nyimbo zake ni raia wa Congo, alianza kuimba muziki wa kwaya kanisani kabla ya mwaka 1969 akiwa na umri wa miaka 18 kuanza rasmi kufanya muziki wa kidunia.
Source: millarayo.com
Weekly Top 10 songs
Top stories
- JORO STARR ft. APPY- LOVE ME AGAIN
01 September
- Money is a new song in the album “ Black Maria “
02 September
- GOD BLESS
01 September
- JORO STARR ft. ANGEL NYIGU -- LIFT ME UP
01 September





Leave your comment