Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Belle 9 Ajitetea Kuhusu Ngoma Yake 'Kubuma'
11 April 2017

Msanii Belle 9 amekanusha tetesi zinazosambaa kwamba 'amefulia' kwenye muziki baada ya kuachia wimbo wake wa Mzuri na kusema hajafeli kimuziki.
Akipiga story kupitia eNewz Belle 9 amesema mesema wimbo huo wa Mzuri unaodaiwa kutofanya vizuri, aliamua kuuachia kwa ajili ya kumchangia msanii Jetman kwa kuwa alitumiwa 'biti' kwa ajili ya kuchangia mchango wa Jetman kupata pesa ya matibabu, vinginevyo asingeutoa
"Kwa kuwa Jetman aliamua kutengeneza bit na kuwauzia wasanii ili waweze kumchangia basi nikaamua kuachia nyimbo kwa ajili ya kumsaidia na hata hivyo wasanii wengi ambao walinunua biti waliachia nyimbo ila hazikusikika kwa kuwa hazikuwa kubwa". Alisema Belle 9 na kusisitiza "Wimbo wa Mzuri nimeuimba kwa ajili ya kumchangia Jetman na siyo project yangu mpya"
Akimuelezea Jetman, Belle 9 amesema Jetman alikuwa ni msanii wa bongo fleva ni muandaaji wa 'biti' pia alishawahi kuwa mbunifu wa mavazi na alishawahi kuwavalisha Weusi.
Source: eatv.tv
Weekly Top 10 songs

omelette4:28
Tudo Trocado3:17
Nasema3:02
ONLY YOU JESUS5:44
I AM3:12
CHAMPION GAL3:00
Ekinuma4:59
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
Mariana3:19
Top stories
- Mungu mkuu
16 July
- apology to all our fan's
18 July
- Stainer...music
18 July


Leave your comment