Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Hivi Ndivyo Vitu 3 Vilivyomvutia Wolper kwa Harmonize
16 March 2017

Jacqueline Wolper amevitaja vitu vitatu ambavyo vimemvutia kuwa kwenye mahusiano na Harmonize.
Muigizaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, vitu hivyo ni upole wake, ukarimu pamoja na kuijua dini.
“Upole, Ukarimu na anapenda dini na anaijua dini kabisa. Mimi naamini asingekuwa mwanamuziki angekuwa maalimu fulani hivi,” amesema Wolper.
Wakati huo huo Harmonize kwa sasa ameachia wimbo mpya ‘Niambie’ ambao amemuimbia mpenzi wake Wolper.
Source: bongo5.com
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Money is a new song in the album “ Black Maria “
02 September
- GOD BLESS
01 September
- Joro Starr - Halellujah
02 September
- JORO STARR - I HAVE BEEN FORGIVEN
02 September





Leave your comment