Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond Platnumz ameteuliwa kuwa balozi wa vijana.
13 July 2016
Diamond Platnumz ameteuliwa na ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania kuwa balozi wa vijana.

Tangazo hilo limetolewa na balozi wa nchi Uingereza nchini, Bi. Dianna Melrose. Ubalozi huo umekuja kupitia mradi wake wa Next Generation Tanzania.
“Superstar Diamond @diamondplatnumz is now #Tanzania Youth Ambassador @nextgentanzania @UKinTanzania @VelavanG,” ametweet Bi. Merlose kwenye picha akiwa na staa huyo.
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs
Top stories
- DOBBAH RANKS
19 May
- Maynikinah Bio
19 May
- Release of new hit
19 May




Leave your comment