Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Acheni kunifananisha na mal*ya ambao hawajawahi kwenda labour - Zari
28 June 2016

Najua unajiuliza kwanini hajapost Instagram ni kwasababu kwa alichokiandika, povu lake lingekuwa la haja! Snapchat ya kishua, mastaa wako huru kusema chochote na hakuna povu kama mitandao mingine. Amesema nini?
“Na wengine acheni kunifananisha na mal*ya ambao hawajawahi kwenda labour,” aliandika. “Mtoto mmoja tu kwenye labour na watakaonekana kama tikiti maji lililopasuliwa. Acheni!”
“Nikiwa na miaka 35 na watoto wanne, bado mimi ni mrembo mno kunifananisha, naomba.”






Chanzo: Bongo5
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Morning guys
16 August
- Gan theking
16 August
- Kadric m Gangsta Bleed out Now
16 August




Leave your comment