Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: (Picha) Vanessa afanya shoo ya hatari Kenya akiwa na 2 Face, Sauti Sol na wengine wengi
13 June 2016

Usiku wa tarehe 11 mwezi wa 6 katika viwanja vya Carnivore nchini Kenya, Vanessa pamoja na wasanii wengine wa Afrika akiwemo 2Face baba, Sauti Sol pamoja na wengineo walishambulia jukwaa katika tamasha la BUCKWILD n BREATHLESS lililofanyika nchini Nairobi, Kenya.
Unaweza kutazama picha za tamasha hilo hapa:

























Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Brand new song
28 April
- So good EP release
28 April
- #NEW MUSIC #NEW artist #RAYMATS!
30 April




Leave your comment