TANZANIA: Linah Sanga amefunguka juu ya kumsapoti mara kwa mara Billnass

 

 

Msanii wa kike nchini Linah Sanga amefunguka juu ya kile kinachoonekana kwenye Page zake kumsapoti mara kwa mara Msanii mwenzake Billnass ambae kuna uvumi mkubwa kuwa wanatoka kimapenzi kwa siri.

Akizungumza na Enewz Linah alisema kuwa Billnas ni msanii mwenzie na kwa kuwa ameshashuti video ya ngoma yake alimuomba aweke linki ya video yake katika bio yake hivyo hakuwa na budi kufanya havyo na wala hakuna kitu kingine chochote.

“Ni swala tu la kimuziki kwasababu aliniomba harafu siko peke angu kuna wasanii wengine nao wamemuweka na kuna watu maarufu pia ambao sio wasanii wamemuweka kama petiti man”,alisema Linah.

 

Billnas

 

 

Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz

 

 

Leave your comment