Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Jay Dee hataki tena jina la ‘Binti machozi’
19 May 2016

Queen wa bongo fleva Lady Jay Dee Baada ya kuamka tena na Ndi Ndi Ndi, ameendela kulikataa wazi jina lake alilokuwa akilitumia hapo awali la binti machozi
Akizungumza na Enewz Jay Dee alisema kuwa kwasasa hataki tena kusikia watu wakilitumia jina hilo kwake wala kwa bendi yake kwani bendi hiyo sasa inajina jipya la ''The Band''
Jay Dee amelikataa jina hilo kutokana na madai kuwa maneno mara nyingi huwa yanaumba kwahiyo isije ikaja ikamtokea ikawa hivyo bora mapema aepukananelo huku akiwakaribisha kwa hamu sana mashabiki zake katika Show yake Ijumaa hii tarehe 20 mlimani city.
Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz
Weekly Top 10 songs

Tudo Trocado3:17
CHAMPION GAL3:00
ONLY YOU JESUS5:44
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
Nasema3:02
BESTIE2:26
Minha Historia3:41
Baraka4:33
Mikono Juu2:49


Leave your comment