Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Diamond ukifanya nae collabo kama utapitia kwake ni bure lakini ukipitia kwangu ni pesa – Sallam Sk
29 April 2016

Meneja wa Diamond Platnumz kufunguka kuhusina utaratibu wa collabo na malipo kwa msanii wake. “Diamond ukifanya nae collabo kama utapitia kwake ni bure lakini ukipitia kwangu ni pesa unajua kuna ngoma nyingine msanii anaweza akaona mwenyewe kama nitafanya hii itaniweka mahali fulani ndio maana kuna ngoma nyingi Diamond Platinumz kafanya bure”, Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam SK

“Kwa mfano ngoma ya Linex, Linnah zote hizo amefanya bure lakini pia wimbo wa Harmonizer sijamchaji hela japo kuwa Harmonizer yupo WCB na yeye anatakiwa alipe kwasababu ana mapato yake ambayo yanaingia katika lebel”, Meneja wa Diamond Platnumz Sallam SK
Weekly Top 10 songs

Tudo Trocado3:17
CHAMPION GAL3:00
ONLY YOU JESUS5:44
Akaana kokukyalo2:21
Joy Is Coming3:08
Nasema3:02
BESTIE2:26
Minha Historia3:41
Baraka4:33
Mikono Juu2:49


Leave your comment