Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Sijawahi kutoka na msanii – Jay Dee
25 April 2016

Mwanadada anayetamba kwa ngoma yake ya NdiNdiNdi Lady JayDee amesema kwa kipindi chote ambacho anafanya muziki wa Bongo Flava hajawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii yeyote.
JayDee ameyasema hayo alipokuwa akijibu maswali ya papo kwa papo wakati akizindua video ya NdiNdiNdi kwenye kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV.
Katika uzinduzi huo msanii huyo aliweka bayana kwamba ameandaa albam nzima ambapo ameanza kutoa single ya NdiNdiNdi na nyingine zitaendelea kutoka.
Aidha amewashukuru watu wote ambao wanaendelea kumuunga mkono katika kazi zake kwa muda mrefu sasa na kuahidi kwamba hatawaangusha.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jakabwana rmixx
14 June
- Approval
16 June
- Joe Chriss music
16 June




Leave your comment