Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Sijawahi kutoka na msanii – Jay Dee
25 April 2016

Mwanadada anayetamba kwa ngoma yake ya NdiNdiNdi Lady JayDee amesema kwa kipindi chote ambacho anafanya muziki wa Bongo Flava hajawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii yeyote.
JayDee ameyasema hayo alipokuwa akijibu maswali ya papo kwa papo wakati akizindua video ya NdiNdiNdi kwenye kipindi cha FNL kinachorushwa na EATV.
Katika uzinduzi huo msanii huyo aliweka bayana kwamba ameandaa albam nzima ambapo ameanza kutoa single ya NdiNdiNdi na nyingine zitaendelea kutoka.
Aidha amewashukuru watu wote ambao wanaendelea kumuunga mkono katika kazi zake kwa muda mrefu sasa na kuahidi kwamba hatawaangusha.
Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- #NEW MUSIC #NEW artist #RAYMATS!
30 April
- Nordman--Kelly yo collabo
30 April
- One and only
01 May


Leave your comment