Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Kauli ya Bright kumpenda Vanessa yavunja uhusiano wake na mpenzi wake
22 April 2016

Baada ya Bright kuweka hadharani kuwa anampenda sana Vanessa Mdee na kuweka dwazi kwamba yuko tayari kumnyang’anya Jux ili aweze kumuoa yeye, mpenzi wa msanii ambaye jina lake halikujulikana, amesikika binti huyo akiongea kwa simu na Bright ambaye alirekodiwa bila kujua, na kutoa kauli kuwa hamuhitaji tena aende kwa huyo huyo Vanessa Mdee.
Binti huyo alisikika akisema kama hataki tena kuwa na mahusiano na msanii huyo ingawa bado anampenda, na kumtaka akamuoe Vanessa aliyemtaja kwenye media.
Bright ambaye ameachia wimbo wake wa 'Nitunzie' aliomshirikisha Baraka Da Prince, ambao pia ameu-dedicate kwa Vanessa Mdee, hapo jana alifanya interview na Planet Bongo, na kusema hadharani kuwa anampenda Vanessa Mdee, na yuko tayari kufanya chochote ili mradi amuoe awe mke wake rasmi.
Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- #NEW MUSIC #NEW artist #RAYMATS!
30 April
- Nordman--Kelly yo collabo
30 April
- One and only
01 May


Leave your comment