Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Pam D atamani kolabo na Vanessa
20 April 2016

Pam D a.k.a Pam Daffa amefunguka kwa kusema kuwa anatamani kufanya kazi na V Money kwa sasa. Pam Daffa ambaye wikend hii ilikuwa ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa na aliamua kusherehekea na mashabiki zake pale Maisha Club.
Enewz ikapata nafasi ya kuzungumza na Pam D kuhusiana na muziki wake, ambapo Pam D alisema wiki ijayo ataachia ngoma yake aliyoshirikiana na Nay wa Mitego, lakini zaidi ni kuwa anatamani sana kufanya collabo na Vanessa Mdee.
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment