Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Pam D atamani kolabo na Vanessa
20 April 2016

Pam D a.k.a Pam Daffa amefunguka kwa kusema kuwa anatamani kufanya kazi na V Money kwa sasa. Pam Daffa ambaye wikend hii ilikuwa ilikuwa ni siku yake ya kuzaliwa na aliamua kusherehekea na mashabiki zake pale Maisha Club.
Enewz ikapata nafasi ya kuzungumza na Pam D kuhusiana na muziki wake, ambapo Pam D alisema wiki ijayo ataachia ngoma yake aliyoshirikiana na Nay wa Mitego, lakini zaidi ni kuwa anatamani sana kufanya collabo na Vanessa Mdee.
Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- #NEW MUSIC #NEW artist #RAYMATS!
30 April
- One and only
01 May
- No time for you
30 April


Leave your comment