TANZANIA: Fezza Kessy awa mtangazaji wa Choice Fm

Msanii wa muziki wa bongo fleva Fezza Kessy, ambae  pia alishawahi kushiriki Big Brother Africa na alishawahi kushiriki mashindano ya Miss Tanzania amabe kwa sasa amejiunga na kituo cha utangazaji wa redio ya Choice Fm ambayo iko chini ya usimamizi wa Clouds Media.


Feza atakua akitangaza kipindi cha Hard Drive. Katika ukurasa wao wa Instagram, Choice Fmwaliandika na kusema kuwa: Usajili mpya wa @fezakessy ndani #HardDrive ya 102.5 Choice Fm kuanzia saa 12-3 asubuhi, karibu kwenye #Freedom ya mziki mzuri na stories

Leave your comment