Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Idris hakufanya poa Kenya…
8 April 2016

Mshindi wa Big Brother Africa Idriss Sultan alizomewa siku ya Jumanne usiku ndani ya Kenya National Theater wakati wa onesho la uchekeshaji Afrika Mashariki, ambao uihudhuriwa na mastaa wakubwa.
Umati wa watu waliokusanyika kuangalia onesho hilo wakufurahishwa na vichekesho alivyokuwa akivitoa Idris. Mashabiki hao walimuomba atoke stejini na kupisha wachekeshaji wengine wapande jukwaani, kitu ambacho kilimfanya asigeuke nyuma.
Chanzo: SDE
Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May
- Jaxon Ryker Official profile
30 April


Leave your comment