Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Idris hakufanya poa Kenya…
8 April 2016

Mshindi wa Big Brother Africa Idriss Sultan alizomewa siku ya Jumanne usiku ndani ya Kenya National Theater wakati wa onesho la uchekeshaji Afrika Mashariki, ambao uihudhuriwa na mastaa wakubwa.
Umati wa watu waliokusanyika kuangalia onesho hilo wakufurahishwa na vichekesho alivyokuwa akivitoa Idris. Mashabiki hao walimuomba atoke stejini na kupisha wachekeshaji wengine wapande jukwaani, kitu ambacho kilimfanya asigeuke nyuma.
Chanzo: SDE
Weekly Top 10 songs

Black Mark utandilubi omwami wangu5:21
KAPEKE LONDON2:23
In My Bed2:50
Paver2:55
CHAMPION GAL3:00
Ex Nkubilako ft DonMusa2:55
BIkola2:58
The Prelude of Grace1:31
Joy Is Coming3:08
Worship My King5:00


Leave your comment