Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
TANZANIA: Sifikirii kufanya kolabo na msanii wa nje kwa sasa – Mwana Fa
6 April 2016

Mwana Fa anasema imefika wakati muziki wa Nigeria unaabudiwa hapa Tanzania lakini yeye anaamini nyimbo zao ni takataka. Akiongea jana kwenye kipindi cha ladha 3600 cha EFM , ndiyo maana wasanii wengi wanaposema wanataka kufanya kolabo ya kimataifa humaanisha kolabo ya kinigeria.
Aliongeza kuwa ndiyo maana yeye hana mpango wa kufanya kolabo yoyote na msanii wa nje kwa sasa, hasa kutoka nchini humo. “Muziki ninaoufanya ni kwa ajili ya watu wa hapa, mimi nauza mashairi, lugha ninayoitumia na presentation ninayoifanya na jinsi watu wanataka warelate na muziki wangu ni mazingira yanayonizunguka mimi moja kwa moja. Kwahiyo kama collaboration zitakuja zije, nikitaka kufanya na wasanii wa nje wala si kitu kigumu kabisa lakini si kitu ninachokifikiria sana sababu sio direction ya muziki wangu ninaotaka kuipeleka” aliongeza Fa.
Chanzo: Bongo5
Weekly Top 10 songs

Kamwambie3:47
chile-one-so-lucky4:02
Buwooma2:44
Joy Is Coming3:08
Nakupenda3:12
Udede Ft Msomali x Malume & Samas Alifata Hela Remix6:34
Msaliti 11:25
Paver2:55
Ssirivawo ft yven feiz2:10
Ziyakuba kabotu6:57
Top stories
- One and only
01 May
- SHUKRANI
02 May
- Okello oyumu
01 May


Leave your comment