Tanzania Independence celebrations in style.
8 December 2015
#Tanzania #Independence day ni kesho wana Ndugu.........
Nduguzee tunamsapoti Mh Dr John Pombe #Magufuli kwa kuifanya siku hii kuwa si siku ya kupiga dili na kuna hela zetu bali kila mmoja kwa ngazi yake aelekeze muda wake katika suala la usafi wa mazingira NA SISI TUNAONGEZEA PANDENI MITI MINGI SANA SIKU YA KESHO TUJE KUKUMBUKA SIKU HII KWA MIAKA MINGI IJAYO....Na pia sambaza nyimbo hii ya #MAJI UHAI kutoka kwa #Nduguzee iwe chachu na kiburudisho katika shughuli za #mazingira hiyo kesho......
TUNAWATAKIA #WATANZANIA WENZETU FURAHA KATIKA SIKU HII YA #UHURU.
Download Maji Uhai by Chaca Na Nduguzee here http://mdundo.com/a/9875
Nduguzee tunamsapoti Mh Dr John Pombe #Magufuli kwa kuifanya siku hii kuwa si siku ya kupiga dili na kuna hela zetu bali kila mmoja kwa ngazi yake aelekeze muda wake katika suala la usafi wa mazingira NA SISI TUNAONGEZEA PANDENI MITI MINGI SANA SIKU YA KESHO TUJE KUKUMBUKA SIKU HII KWA MIAKA MINGI IJAYO....Na pia sambaza nyimbo hii ya #MAJI UHAI kutoka kwa #Nduguzee iwe chachu na kiburudisho katika shughuli za #mazingira hiyo kesho......
TUNAWATAKIA #WATANZANIA WENZETU FURAHA KATIKA SIKU HII YA #UHURU.
Download Maji Uhai by Chaca Na Nduguzee here http://mdundo.com/a/9875
Leave your comment