NEW RELEASE (TANZANIA)- Joh Makini, G-Nako, Nikki Wa Pili kuachia single 3 wiki ijayo.

 

 

Wasanii kutoka kundi la weusi kuachia single 3 wiki ijayo baada ya uchaguzi, mbili kati ya hizo tayari zimefanyiwa video na Justine Campos.

Kwa muda wa miezi miwili iliyopita Joh Makini na G Nako walienda Afrika Kusini kushoot video mbili mpya, kati ya hizo moja ilikua kati ya Joh na rapper wa Afrika kusini AKA, “Don’t bother” na nyingine ni ya G Nako iitwayo “Original”

Nyimbo zote hizo mbili pamoja na ya Nikki wa Pili iitwayo “Baba Swalehe” zitatoka rasmi wiki ijayo japo hawajasema tarehe.

Kupitia istagram Joh Makini pia amepost,

“Baba swalehe @nikkwapili

Original@gnakowarawara

Don’t bother feat@akaworldwide

Produced by @nahreel #TheIndustry

Loading……”

Source:Bongo 5

Leave your comment