Exclusive DJ Mixes and 100% Ad-Free Music!
EXCLUSIVE (TANZANIA)- Wasanii tutumie umaarufu wetu vizuri –Jokate
22 October 2015

Jokate Mwegelo ambaye ni mwanamitindo na muimbaji amewataka wasanii kutumia umaarufu wao vizuri ili wapewe ushirikiano na kila mtu katika kazi zao. Ameyasema hayo wakati akihojiwa katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa wasanii wengi wanavimba kichwa baada ya kupata umaarufu hali inayopelekea mwisho wao kuwa mbaya.
“Unajua ukiwa maarufu kila mtu akawa anaimba nyimbo yako, ni rahisi kuvimba kichwa ukajiona wewe ndio wewe, unasahau kabla ya wewe kulikuwa na watu ambao walihit vilevile. Hii ni cycle leo umehit wewe, kesho yule”. Na kuongeza kuwa cha muhimu ni kufanya kazi kwa bidii na heshima.
Weekly Top 10 songs
Top stories
- Jalingo
04 May
- Parsonal background
04 May
- Redice1 story
04 May




Leave your comment