SHUKRAN WADAU MNAO TUUNGA MKONO HARAKATI ZETU
26 September 2015
Habari ya saa hizi. Kwaniaba ya familia nzima ya Bang Fellahz naomba niwasilishe shurani za dhati kwenu wadau wote mnao support harakati zetu kwahali na mali. Kwa habari unawekubofya link hizi ila Kwa ufipi Zambia top ten tumeshika nafasi ya pili na Tanzania tumeahika nafasi ya tano
Zambia top ten check hapa
Zambia top ten check hapa
Leave your comment