Msanii wa bongo fleva DOGO JANJA

Msanii wa BongoFleva Janjaro/DogoJanja amefunguka kuwa Mungu amekibaliki kizazi chao cha Ma-Young...

Akipiga story na kituo cha online Dogo Janja amefunguka akisema
“Watu wana pesa, wakina Young Dee wanakimbizana, Young Killer anaenda Ulaya huko na Aslay yule pale ndio taita kabisa, mtu mzito”.

“Kwa sisi Ma-Young M/Mungu ameweza kutubariki, kwa Hii generation yetu ambayo mimi nimekuwa nayo ni Alhamdulillahi”.

Dogo Janja amemanisha kwamba waliotoka kimuziki katika kipindi kimoja yupo Young Dee, Young Killer na Aslay.

Leave your comment