OTILE BROWN NI MTOTO SIBISHANI NAE AJAOA..amesema KRG

Mwanamuziki kutoka Kenya KrgTheDon amesema kuwa OtileBrown bado ni mdogo sana anamambo ya kitoto hivyo hawezi kushindana nae kwa chochote.

KRG ameongeza kwa kusema kuwa OtileBrown ameshindwa hata kudumu kwenye mahusiano na mwanamke kwa muda mrefu hivyo hawezi kuendelea kushindana na mtu kama huyo

Leave your comment